Waziri wa Mambo ya Katiba na Sheria, Dkt. Harrison Mwakyembe ( wanne toka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Sekretarieti ya Msaada wa Kisheria (LAS) baada ya kumaliza mazungumzo nao ofisini kwake jijini Dar Es Salaam 19/7/16.
Waziri wa Mambo ya Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza katika kikao na watumishi wa Sekretarieti ya Msaada wa Kisheria (LAS) kilichofanyika ofisini kwake jijini Dar Es Salaam, 19/7/16.
No comments:
Post a Comment