WAHARIRI WAKAMATWA ZAMBIA. - PATRICIA-TV.com

Breaking

Share daily activities and have all funs here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, June 28, 2016

WAHARIRI WAKAMATWA ZAMBIA.


Polisi nchini Zambia imemkamata Mhariri wa Gazeti kuu nchini humo,sambamba na mke wake pamoja na naibu Mhariri mtendaji.

Juma lililopita mamlaka nchini humo ililifungia Gazeti la The Post ikisema linadaiwa kodi ya mamilioni ya Dola.

Uongozi wa gazeti hilo unadai kuwa hakuna kodi inayodaiwa na serikali huku wakitaja kitendo hicho kuwja aribio la kutaka kuzuia uhuru wa habari wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu mwezi wa nane.

Watu hao watatu walikamatwa walipoingia katika ofisi kuu za gazeti hilo mjini Lusaka.Pamoja na mashtaka mengine, wanatuhumiwa kufanya uhalifu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here