RAIS WA ZANZIBAR DK.ALI MOHAMED SHEIN AWAAPISHA NAIBU KATIBU WAKUU LEO. - PATRICIA-TV.com

Breaking

Share daily activities and have all funs here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, June 28, 2016

RAIS WA ZANZIBAR DK.ALI MOHAMED SHEIN AWAAPISHA NAIBU KATIBU WAKUU LEO.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akimuapisha Dk.Islam Seif Salum kuwa Naibu Katibu Mkuu ,Mifugo na Uvuvi katika Wizara ya Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi, katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akimuapisha Nd,Hassan Abdulla Mitawi kuwa Naibu Katibu Mkuu Habari katika Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akimkabidhi hati ya kiapo Nd,Hassan Abdulla Mitawi baada ya kumuapisha kuwa Naibu Katibu Mkuu Habari katika Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo katika hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here