“Boss amemganda Dangote,ameisahau Tip Top” kutoka kwa Roma ni moja kati ya mistari inayozungumziwa sana kwa sasa huku ikidaiwa kuwa Roma amemponda Babu Tale ambaye ni mmoja wa mameneja wa Diamond na meneja wa Tip Top pia kwenye wimbo wake wa kaa tayari.
Kwa upande wake Roma amesema kuwa hakumaanisha kumponda meneja huyo kama watu wengi wanavyodhani bali alitaka kufikisha ujumbe kuwa watu wasisahau walipotoka lakini kwa njia ya kisanii zaidi.
No comments:
Post a Comment