VYAKULA VINAVYOPENDEKEZWA KUTUMIWA NA WANAWAKE WAKATI WA PERIOD - PATRICIA-TV.com

Breaking

Share daily activities and have all funs here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, June 20, 2017

VYAKULA VINAVYOPENDEKEZWA KUTUMIWA NA WANAWAKE WAKATI WA PERIOD

 
Katika kipindi cha mzunguko (siku za hedhi) kwa kawaida wanawake hupoteza kiasi cha damu pamoja na baadhi ya madini chuma mwilini.

Hali hiyo huweza kusababisha upungufu wa damu kama mwanamke atakuwa hapati lishe bora na ya kutosha. Sasa ili kuzuia upungufu wa damu na madini mwilini, msichana anatakiwa kula vyakula vyenye madini chuma na chokaa kwa wingi ikiwa ni pamoja na hivi vifuatavyo:-

Orodha ya vyakula vinavyopendekezwa

Mboga za majani
Maharage
Soya
Samaki
Maziwa
Korosho
Mayai
Dagaa n.k.

Mbali na vyakula hivyo, pia mwanamke huhitaji kuzingatia hali ya usafi wa mwili, hasa sehemu za siri . Tumia vitambaa safi vilivyo nyooshwa kwa pasi au pedi zilizohifadhiwa katika hali ya usafi

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here